Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ahahahaha watu mmechafukwa 😂😂😂😂Acha utoto tafuta pesa, shuti mzungusho litakusaidia nini katika maisha yako?
Pesa ninazo,thats why ninapata muda wa burudani pia KAPUKU WEWEAcha utoto tafuta pesa, shuti mzungusho litakusaidia nini katika maisha yako?
Asante mkuu,kuna chokoraa moja wa tandale apo alikuwa amejibu fyokoShoot na R2.
Jaribu hiyo.
umaskin tu wamsumbuaAhahahaha watu mmechafukwa 😂😂😂😂
Puumbafu dume zima unacheza game? Huna tofauti na wale wanaocheza ma bonanza ya kichina au wanarusha vindege. Unajitengenezea kaburi la umaskiniKwa anayefahamu namna ya kupiga shuti la Mzungusho kwenye ps3 PES tafadhali nielelekeze maujuzi.
Acha makasiriko mkuu ukiona watu Wana relax ujue pesa tayari wanazo ndo maana hajaomba msaada wa pesa.Acha utoto tafuta pesa, shuti mzungusho litakusaidia nini katika maisha yako?
umaskini unakusumbua kijana ukipata utaachana na burudan za watu,https://jamii.app/JFUserGuidePuumbafu dume zima unacheza game? Huna tofauti na wale wanaocheza ma bonanza ya kichina au wanarusha vindege. Unajitengenezea kaburi la umaskini
Daaah aiseeeeeumaskin tu wamsumbua
Upgrade walau ufike PS4Kwa anayefahamu namna ya kupiga shuti la Mzungusho kwenye ps3 PES tafadhali nielelekeze maujuzi.
😂😂😂Acha utoto tafuta pesa, shuti mzungusho litakusaidia nini katika maisha yako?
Box + R2Kwa anayefahamu namna ya kupiga shuti la Mzungusho kwenye ps3 PES tafadhali nielelekeze maujuzi.
Wewe ndio upo kwenye dimbwi la umaskini. Utacheza na ma soft ware akili inahama ukija Kushtuka una miaka 90 huna MKE,huna mtoto huna kinanda macho umeua kwa kukodolea screen. Acha huo upuuzi ngedere wee Kula kulalaumaskini unakusumbua kijana ukipata utaachana na burudan za watu,JamiiForums' Community Engagement Guidelines | Mwongozo wa Ushiriki kwenye Mijadala
Alichoongea mleta mada hili ndio jukwaa lake. Masuala ya kutafuta hela yapo kule jukwaa la uchumi na biashara, hata ivyo wewe umejuaje kama hatafuti hela labda ana ofisi ya kuchezesha play station anaomba msaada ili ahudumie wateja kwa ufanisi si ndo anatafuta hela hapo au wewe umekalili kutafuta hela ni kufanya kazi ngumu ngumu tu kama kulima na kubeba zegeAcha utoto tafuta pesa, shuti mzungusho litakusaidia nini katika maisha yako?
Ukute upo zako una cheza game la matunda afu una jibu watu wenye PS una jua bei ya PS wewe .Puumbafu dume zima unacheza game? Huna tofauti na wale wanaocheza ma bonanza ya kichina au wanarusha vindege. Unajitengenezea kaburi la umaskini
Ingia youtube, ila muda huo wa kucheza game unaonaje ukautumia kumuabudu Muumba?Kwa anayefahamu namna ya kupiga shuti la Mzungusho kwenye ps3 PES tafadhali nielelekeze maujuzi.