Clueless14
JF-Expert Member
- Aug 27, 2014
- 3,108
- 4,751
Naombeni mnisaidie jinsi ya kupunguza unene bila kuathiri unyonyaji wa mtoto ana miezi tisa asa hivi
Hahahahah usiombeee hahahaUshafanya investigation ukajua mumeo ana mchepuko?? Hiyo ni best natural home remedy ya kupunguza kilo 10 kwa wiki moja
DAWA YA KUPUNGUZA UNENE,TUMBO MAFUTA NA KITAMBI.NATURAL FITOFORM PLUS+Naombeni mnisaidie jinsi ya kupunguza unene bila kuathiri unyonyaji wa mtoto ana miezi tisa asa hivi
Hahahahah usiombeee hahaha
Kuku ni Red meat(nyama nyekundu) siku hizi!?Mazoezi ya kutembea haraka dak 150/wiki (23 minutes per day)
Aina 5 Matunda kwa wiki
Mboga za majani kwa wingi
Usile Vyakula vya viwandani
Acha kula nyama nyekundu/ nyeupe ( ng'ombe,kitimoto, kuku)
Kula samaki tu ( mchemsho)
Acha kula vyakula vya mafuta mengi ( acha kula chips)
Kunywa maji ya kutosha
Usiache mazoezi, fanya mazoezi kila siku
Good luck
Ndio maana hii nchi haiendelei, kila mtu ni mtaalam wa afya, kila mtu ni daktari.Mazoezi ya kutembea haraka dak 150/wiki (23 minutes per day)
Aina 5 Matunda kwa wiki
Mboga za majani kwa wingi
Usile Vyakula vya viwandani
Acha kula nyama nyekundu/ nyeupe ( ng'ombe,kitimoto, kuku)
Kula samaki tu ( mchemsho)
Acha kula vyakula vya mafuta mengi ( acha kula chips)
Kunywa maji ya kutosha
Usiache mazoezi, fanya mazoezi kila siku
Good luck
Hahahahaaa very true ....hahahahaha umenikumbusha siku moja niliona text kw mr wangu nikasoma convy zote niliumwa balaa [emoji28][emoji28]yaani nilikosa raha,kula siwezi,siliii sicheki nipo nipo tu,yalivyoisha kipenz akaniambia naona ume loose weight ghafla hahaha akaniambia kumbe dawa ya kukupungyza unene ni inapatkan kwa gharama nafuu bila mazoez hahahahaUnapungua haraka sana. Wala huhitaji mazoezi wala kuwa na wasiwasi wa uroho wengine pembeni yako wakila vinono vya kunukia.
Hehe yaan mie sikondi kwa mambo kama hayo huwa hayanipi shida hata ningekuwa ndio ww ningeshakuwa kama njiti lakin huwa najipa raha mwenyeweHahahahaaa very true ....hahahahaha umenikumbusha siku moja niliona text kw mr wangu nikasoma convy zote niliumwa balaa [emoji28][emoji28]yaani nilikosa raha,kula siwezi,siliii sicheki nipo nipo tu,yalivyoisha kipenz akaniambia naona ume loose weight ghafla hahaha akaniambia kumbe dawa ya kukupungyza unene ni inapatkan kwa gharama nafuu bila mazoez hahahaha
Shost raha unajipa lkn ile siku y kwanz n ya pili tusidanganyane lazm upate shock ss wengine shock kama hyo tunaisha within a hourHehe yaan mie sikondi kwa mambo kama hayo huwa hayanipi shida hata ningekuwa ndio ww ningeshakuwa kama njiti lakin huwa najipa raha mwenyewe
AsanteReply ya kwanza ya muhimu sana, ila ongezea hii.. Achana kabisa na SUKARI, nimeweka herufi kubwa maana ndio tatizo la wengi duniani. Sukari inaleta unene wa fasta sana, chumvi nayo inakuzeesha haraka, yaani ka vipi ukipika chakula weka chumvi kidogo sana ile kuleta taste tu, alafu kata sukari 90%, wengi mnaijaza kwenye chai ya asubuhi, cake, cookies e.t.c kata vyote, kula vitu healthy tu kama jamaa wa kwanza alivyokujibu, utashangaa utakavyopungua fasta. Bidhaa nyingi zinauzwa kua zinapunguza uzito wanakwambia uzitumie ku-suppliment mlo wako kumbe ni placeabo tu, wanajua fika ukikata mlo wako wa sasa hivi tayari utapungua. Nilipanda hadi 90kg kwa vyakula vya sukari, sasa nimerudi 70kg, kwa mfanya mazoezi ni uzito wastani unanitosha kabisa.
Hata mim huo mda sinaga tena jamaniIlikuwa zaman sana lakini cku hizi siumiz kichwa changu shost
Daah!!.....ila kama wewe ndo huyo hapa kwenye avatar yako walahi ubonge wako ni mzuri na una mvuto![emoji39]Duh nitazid kuwa kibonge wallah haya nitafanyia kaz ushaur wako