mtemi wa vuga
Member
- Jul 7, 2022
- 65
- 157
Jamani habari za leo,
Naombeni msaada. Akaunti yangu ya Facebook imekuwa hacked na vijana wa kenya. Nahitaji kuirudisha ila nashindwa kwani wamekwisha reset password!
Natanguliza shukurani!
Naombeni msaada. Akaunti yangu ya Facebook imekuwa hacked na vijana wa kenya. Nahitaji kuirudisha ila nashindwa kwani wamekwisha reset password!
Natanguliza shukurani!