Ungekuwa unatumia GB,YO au FM whatsapp ata yeye akifuta kwako haitafutikaMsaada namna naweza rudisha image nilotumiwa na mtu bahat mbaya kwake kafuta. Nikijaribu kuidownload inakataa na kusema ivo kwenye screenshotView attachment 1887709
Hivi GB whatsapp bado ipo?Ungekuwa unatumia GB,YO au FM whatsapp ata yeye akifuta kwako haitafutika
Hyo ishafutwa kwenye Database za WhatsApp,Msaada namna naweza rudisha image nilotumiwa na mtu bahat mbaya kwake kafuta.
Nikijaribu kuidownload inakataa na kusema hivyo
kwenye screenshotView attachment 1887709
Bado zipoHivi GB whatsapp bado ipo?