Uhakika Bro
JF-Expert Member
- Mar 29, 2022
- 3,644
- 4,315
Nahitaji kufikisha kamzigo kadogo tu ka mafuta ya nyonyo na unga wa maziwa ya mbegu za maboga. Kadoogo.
Gari zinaenda Mwanza, hakuna ya Kahama kituo kikuu tokea hapa(Mbeya). Kama ipo nijuze.
Kama kuna anayesafiri karibuni kabla ya nanenane tuwasiliane basi nimkabidhi. Ni kadogo tu utaita 'bahasha' or kakipeperushi..... sorry kifurushi🤭😺
Mafuta tutano na tuunga ntafanya kama nusu kilo iv. Eaaaasy.
Gharama? Ratiba!? Tuwasiliane 073418902
Gari zinaenda Mwanza, hakuna ya Kahama kituo kikuu tokea hapa(Mbeya). Kama ipo nijuze.
Kama kuna anayesafiri karibuni kabla ya nanenane tuwasiliane basi nimkabidhi. Ni kadogo tu utaita 'bahasha' or kakipeperushi..... sorry kifurushi🤭😺
Mafuta tutano na tuunga ntafanya kama nusu kilo iv. Eaaaasy.
Gharama? Ratiba!? Tuwasiliane 073418902