Msaada kuset internet kwenye LG V20U

Msaada kuset internet kwenye LG V20U

FromHeaven

Member
Joined
Aug 8, 2018
Posts
17
Reaction score
16
Nimenunua simu LG V20 natumia line ya halotel 4G nimeset Access Point zile ikakubali ina browse internet fresh youtube unaangalia vizuri na app ya jamii forum inafanya kazi ila tatizo haitumi picha wala txt za whatsapp facebook telegram na Twitter pinterest hazirefresh ilivoload siku ya kwanza ndo ivoivo ila nikitumia WI-FI kila kitu kinaenda vizuri, mnisaidie apo wakubwa namna ya kufanya halotel nimeshaongea nao sana maelekezo yao hayajasaidia nazani inahitaji expert fulani wa IT hivi.
 
Huenda halotel iko slow,

Jaribu na line za mitandao mingine.
 
Huenda halotel iko slow,

Jaribu na line za mitandao mingine.
Hapana haipo slow mfano nikihitaji kudownload kitu ata cha mb 600 ni ndan ya dakika 1 inamaliza na izo video youtube haijawahi kuload inaplay kama unaangalia offline tu,ipo fasta. Marekebisho simu ni LG V20
 
Nimenunua simu LG V20 natumia line ya halotel 4G nimeset Access Point zile ikakubali ina browse internet fresh youtube unaangalia vizuri na app ya jamii forum inafanya kazi ila tatizo haitumi picha wala txt za whatsapp facebook telegram na Twitter pinterest hazirefresh ilivoload siku ya kwanza ndo ivoivo ila nikitumia WI-FI kila kitu kinaenda vizuri,mnisaidie apo wakubwa namna ya kufanya halotel nimeshaongea nao sana maelekezo yao hayajasaidia nazani inahitaji expert fulani wa IT hivi
mara nyingi hili tatizo hutokea unapokosea kutengeneza access point,

hakikisha unatengeneza acess point mpya usiweke chochote zaidi ya connection name na Apn tu iwe internet kwengine kote acha kama kulivyo.
 
mara nyingi hili tatizo hutokea unapokosea kutengeneza access point,

hakikisha unatengeneza acess point mpya usiweke chochote zaidi ya connection name na Apn tu iwe internet kwengine kote acha kama kulivyo.
Nimetest iyo bado shida inaendelea apa naandika kwa kutumia iyo setting uliyoniambia
 
Niliagiza
Kwa halotel nenda settings then mobile network
Arafu nenda access point name
Kweny name jaza Halotel Tanzania
Kumbuka H na T lazima ziwe capital letters

Ukimaliza nenda kweny APN jaza internet
Kwa small letters

Then utaenda APN type choose default

Utaenda tena kweny Authentication choose PAP or CHAP

Then save settings

Switch off your mobile

Then Switch On your mobile na uinjoy Maisha.
 
Nimenunua simu LG V20 natumia line ya halotel 4G nimeset Access Point zile ikakubali ina browse internet fresh youtube unaangalia vizuri na app ya jamii forum inafanya kazi ila tatizo haitumi picha wala txt za whatsapp facebook telegram na Twitter pinterest hazirefresh ilivoload siku ya kwanza ndo ivoivo ila nikitumia WI-FI kila kitu kinaenda vizuri, mnisaidie apo wakubwa namna ya kufanya halotel nimeshaongea nao sana maelekezo yao hayajasaidia nazani inahitaji expert fulani wa IT hivi.

Inawezekana umeseti "WiFi-Only" kwenye baadhi ya settings. Hakikisha Roaming iko off (Not Roaming). Hakikisha hakuna VPN. Jaribu kuweka laini ya Vodacom. Mtandao unaonesha LTE?
 
Inawezekana umeseti "WiFi-Only" kwenye baadhi ya settings. Hakikisha Roaming iko off (Not Roaming). Hakikisha hakuna VPN. Jaribu kuweka laini ya Vodacom. Mtandao unaonesha LTE?
Nimeangalia sijaweka optiona ya wi-fi only kwenye hivi vitu vinavokataa kufanya kazi,mtandao unasoma 4G karibu muda wote sina VPN wala roaming haipo ON
 
Back
Top Bottom