Wadau naomba msaada wa kesi/vifungu zinazohusu athari ya upande kushindwa kuleta mashahidi wa muhimu kwenye kesi pamoja na ushahidi muhimu kwenye kesi husika
Swali la nyongeza evidence Act and Elecronic Transaction Act is applicaple in Labour matters especially cma?
Shukran Petro E. Mselewa , Dragoon,