Call me GHOST Member Joined Jan 18, 2019 Posts 53 Reaction score 96 Nov 19, 2020 #1 Nahitaji kujua kwenye sheria kama ukikutana na mtu anataka kujiua na ukamuacha ajiue bila kufanya chochote unakua na makosa kisheria???na adhabu yake ni ipi!?
Nahitaji kujua kwenye sheria kama ukikutana na mtu anataka kujiua na ukamuacha ajiue bila kufanya chochote unakua na makosa kisheria???na adhabu yake ni ipi!?
Mlolongo JF-Expert Member Joined Jul 4, 2019 Posts 3,483 Reaction score 6,257 Dec 14, 2020 #2 Hamna kosa hapo. Mbona mie nilishuhudiaga mjomba alipokua anajinyonga. Sema alienda kufia hospital pale Kahama
Hamna kosa hapo. Mbona mie nilishuhudiaga mjomba alipokua anajinyonga. Sema alienda kufia hospital pale Kahama
Abuu Dharr JF-Expert Member Joined Dec 28, 2017 Posts 2,911 Reaction score 3,016 Dec 14, 2020 #3 Mlolongo said: Hamna kosa hapo. Mbona mie nilishuhudiaga Anko alipojua anajinyonga. Sema alienda kufia hospital Click to expand... hhhhhh
Mlolongo said: Hamna kosa hapo. Mbona mie nilishuhudiaga Anko alipojua anajinyonga. Sema alienda kufia hospital Click to expand... hhhhhh