Msaada kutairiwa

mtengwa

JF-Expert Member
Joined
Aug 20, 2011
Posts
1,602
Reaction score
864
Mimi ni kijana wa kipare, nina miaka 24. Tatizo nililonalo nikua sijatairiwa n naona aibu kwenda hospital kutahiri kwani ntachekwa na vijana wenzangu mtaani. Hii hali inanipa wakati mgumu kwani nashndwa kukojoa mbele ya wenzangu. Nafikiria kwenda kwa kijijini nikae nauguza kidonda. Je inachukua siku ngapi kupona?
 
Loh!
Hapo kazi kweli kweli dogo.
Kwanza ukishatairiwa omba "usidindishe"ukidindisha cha moto utakiona.
 
mimi nimetahiriwa, nina miaka 32 kwa sasa, ila natamani kama ningekuwa sijatahiriwa hadi leo hii, nisingethubutu kukata govi, kwasababu nasikia kisayansi, sensation za mtu ambaye ametahiriwa na yule ambaye hajatahiriwa katika kufurahia tendo takatifu ni tofauti, yule ambaye hajatahiriwa bado kuna mishipa ambayo haijakatwa, ambayo inamfanya apate raha zaidi. pamoja na kwamba, najua ninepata shida kwa wanawake, hilo lisingekuwa tatizo, nenda kwenye maeneo ya watu ambao hawatahiri utawakuta wanawake waliozoea magovi kule ambao wanaona magovi sio uchafu, utafurahia ndoa, kuliko kumpata mwanamke ambaye anajua kuwa govi ni uchafu ukawa na inferiority ukashindwa hata kuscore...hahaha. na sensation umepunguzwa kwenye mhogo wako. nasema toka rohoni, kama ningekuwa sijatahiriwa, ningeacha tu hadi leo hii, kwasababu ninavyosikia, nimepunjwa raha, ningekuwa nasikia raha zaidi ya hapa ninavyosikia kwasasa kama ningekuwa sijatahiriwa.
 
Kaka mkubwa achana na mambo ya kizushi, cha msingi funga safari ya mbali nenda kafanyiwe tohara kitaalamu, hapa namaanisha hospitali( kama eneo ulipo unaona aibu) magonjwa yahusuyo ngono ni mengi na inabidi kuwa msafi kila baada ya kufanya mapenzi, ama sivyo utapata maambukizo ya magojwa ngono mapema KAMA HUJATAHIRIWA. Inachukua takribani siku 14 kupona kabisa ukizingatia maelezo ya kitabibu, kwa kuwa wewe ni mtu mzima teyari epuka kuwa na hisia za ngono kipindi cha tohara, kwa sababu ukidindisha mara kwa mara nyuzi zinaweza kuachia na kuchelewesha kidonda kupona,


SEHEMU INAYOCHELEWA KUPONA NI ILE YA CHINI YA KICHWA CHA UUME ILIYO SAMBAMBA NA MSHIPA. BEWARE!!!! BRO, TAKE MEASURE
 

me pia demu wangu huwa ana enjoy altho haniambii nikakate bt najish2kia kishenzi
 

thanx kaka
 

Unaogopa kuchekwa!!! Nani atakeyejua kuwa umetahiri jana au leo zaidi ya daktari atakeye fanya zoezi hilo? Mimi nimefanya baada ya kumaliza kidato cha 4 na nilikofanyia ni mbali na nyumbani. Usafiri ulikuwa baiskeli. Hivyo niliendesha baiskeli mpaka hospitali na nikarudi naendesha baiskeli hadi nyumbani hata shangazi yangu hakujua kabisa kama nilitoka kufanyiwa tohara na kwamba ninauguza kidonda.
Wanaume kazi. Punguza uoga.
 
Mimi mwenyewe nimetahiriwa, ila kwa utafiiti wa tacaids, utanifanya nirudi hospitali niunganishe govi, maana wasije milupo wakatukimbia, noma.
 
Duh😀 miaka 24 mkuu bado ako na prepuce? Nenda kwa hospital ukatoange hiyo kitu bt maumivu itaongezeka kwa vile ww ako matured. All the best!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…