albab
JF-Expert Member
- Jul 6, 2018
- 1,198
- 2,562
Wadau heshima yenu.
Kwa ufupi mwakani nataka nianze ujenzi ila bado napata ukakasi kuhusu haya yafuatayo.
1. Nitumie tofali za kuchoma (hapa nimepanga kujengea tope joint zikiwa ndogo saanaaa kwa haraka ukiangalia unaweza sema tofali zimepangwa tu)
2. Nitumie tofali za kupanga ("interlocking blocks" sijui ka nimepatia spelling) HIZI hutumia udongo wa kichuguu na cement kidogo sanaaa
Choma itanicost kwenye plaster wakati interlocking bila plaster naweza kuhamia na ikawa ka fashion nkizipaka polish....
Swali ni je UIMARA KWA AINA HIZI MBILI ZA TOFALI UKOJE????
Pichani inayopigwa lenta ni interlock hyo nyingine ni choma
Kwa ufupi mwakani nataka nianze ujenzi ila bado napata ukakasi kuhusu haya yafuatayo.
1. Nitumie tofali za kuchoma (hapa nimepanga kujengea tope joint zikiwa ndogo saanaaa kwa haraka ukiangalia unaweza sema tofali zimepangwa tu)
2. Nitumie tofali za kupanga ("interlocking blocks" sijui ka nimepatia spelling) HIZI hutumia udongo wa kichuguu na cement kidogo sanaaa
Choma itanicost kwenye plaster wakati interlocking bila plaster naweza kuhamia na ikawa ka fashion nkizipaka polish....
Swali ni je UIMARA KWA AINA HIZI MBILI ZA TOFALI UKOJE????
Pichani inayopigwa lenta ni interlock hyo nyingine ni choma