doctors nambeni ushauri, mkewangu ameshika mimba ni mwezi moja sasa, chaajabu ameanza kuona damu kwa mbali toka juzi hadileo naona inazidi kadri muda unavoenda, tatizo ni nini? na tiba yake ni ipi? je mwanangu atapona kweli? pia anasikia maumivu ya tumbo kama breed. msaada tafadhari.