Jamani na nyie hebu mkimbizeni Hospital mala moja sio mnakaa mnaangalia damu tu inatoka, 2 years past nilipata dalili kama hizo ndani ya siku tano nikapata miscarriage ,lakini mie niliwahi Hospital ,So mpeleke mapema akapate matibabu na ataambiwa kupumzika sana pia kuna dawa za Kucontrol