Msaada: Kutokwa na damu sehemu za siri za kike

Msaada: Kutokwa na damu sehemu za siri za kike

Freightliner

JF-Expert Member
Joined
Aug 22, 2013
Posts
720
Reaction score
527
Wataalamu naomba mnisaidie nina mchumba wangu ana tatizo hilo la kutokwa na damu sehemu zake za uke tatizo hili lilianza siku tulipokuwa tunayafanya yetu baada ya kumpelekea mashine damu ikaanza kumtoka na sio damu ile hedhi na hakusikia maumivu yeyote

Na baada ya hapo ananiambia damu iliendelea kumtoka baada ya siku kadhaa tena bila maumivu yeyote wataalamu naomba msaada wa mwenye kujua nini tatizo la hii kitu na tiba yake ni nini.
ASANTE
 
Imetoka kwa muda gani sasa.
Mpeleke hospitali akafanyiwe uchunguzi wa afya ya viungo vya uzazi.
 
Kwa mwezi inatoka Mara ngapi na je inaharufu au haina ,pia Ni nyepesi au nzito?
kuna mwezi ilitoka mara mbili ila baada ya hapo ikawa inatoka mara moja,haina harufu, ni ya kawaida na pia hapati maumivu
 
Wataalamu naomba mnisaidie nina mchumba wangu ana tatizo hilo la kutokwa na damu sehemu zake za uke tatizo hili lilianza siku tulipokuwa tunayafanya yetu baada ya kumpelekea mashine damu ikaanza kumtoka na sio damu ile hedhi na hakusikia maumivu yeyote

Na baada ya hapo ananiambia damu iliendelea kumtoka baada ya siku kadhaa tena bila maumivu yeyote wataalamu naomba msaada wa mwenye kujua nini tatizo la hii kitu na tiba yake ni nini.
ASANTE
Kutoka kwa damu isiyo ya hedhi kwa mwanamke kunatokana na sababu nyingi...

Izo sababu zinatofautiana kwa kila mmoja
Sababu kubwa ni ujauzito.. Ambapo unakuwa umetoka, unatoka or unataka kutoka

Sababu zingine zinatokana na kitu kinaitwa abnormal uterine bleeding, apa ndipo ni lazima uangalie factor kama age
Na vitu vingine...

Cha kwanza pima ujauzito kama hakuna ndo uanze kufikiria izo sababu nyingine
 
Wataalamu naomba mnisaidie nina mchumba wangu ana tatizo hilo la kutokwa na damu sehemu zake za uke tatizo hili lilianza siku tulipokuwa tunayafanya yetu baada ya kumpelekea mashine damu ikaanza kumtoka na sio damu ile hedhi na hakusikia maumivu yeyote

Na baada ya hapo ananiambia damu iliendelea kumtoka baada ya siku kadhaa tena bila maumivu yeyote wataalamu naomba msaada wa mwenye kujua nini tatizo la hii kitu na tiba yake ni nini.
ASANTE
Sio ruhusa kufanya nae mpaka umuoe heshimu ndoa NAWASHANGAA HATA WANAOKUSHAURI UMEMUOA HUYO HADI UFANYE TENDO NAE
heshimu neno la Mungu linasemaje
 
Kutoka kwa damu isiyo ya hedhi kwa mwanamke kunatokana na sababu nyingi...

Izo sababu zinatofautiana kwa kila mmoja
Sababu kubwa ni ujauzito.. Ambapo unakuwa umetoka, unatoka or unataka kutoka

Sababu zingine zinatokana na kitu kinaitwa abnormal uterine bleeding, apa ndipo ni lazima uangalie factor kama age
Na vitu vingine...

Cha kwanza pima ujauzito kama hakuna ndo uanze kufikiria izo sababu nyingine
ok ok
 
Muhimu ni aende hospital wakamfanyie pv examination kwa kutumia speculum
 
Poleni sana ila yanaweza kuwa maambukizi katika njia ya uzazi. Pia epuka zinaaa, mpeleke hospitali mkapime mapema
 
Back
Top Bottom