Msaada: Kutokwa na vichembechembe vyeupe kwenye chuchu

Msaada: Kutokwa na vichembechembe vyeupe kwenye chuchu

Clabo1

Member
Joined
Sep 25, 2016
Posts
98
Reaction score
65
Habari wandugu!

Mimi ni mwanaume, niko na mchumba ambaye tunaishi kwa umbali mrefu sana kutokana na bado kutokua mke wangu, hivyo huwa tunakutana kwa masiku tu.

Sasa kilichonishangaza na kuomba msaada ni baada ya kukutana nae hapa karibuni nimeona anatokwa na kama vichembechembe vyeupe katika chuchu zake. Hivi ni ugonjwa au dalili ya nini?
 
Back
Top Bottom