Clabo1
Member
- Sep 25, 2016
- 98
- 65
Habari wandugu!
Mimi ni mwanaume, niko na mchumba ambaye tunaishi kwa umbali mrefu sana kutokana na bado kutokua mke wangu, hivyo huwa tunakutana kwa masiku tu.
Sasa kilichonishangaza na kuomba msaada ni baada ya kukutana nae hapa karibuni nimeona anatokwa na kama vichembechembe vyeupe katika chuchu zake. Hivi ni ugonjwa au dalili ya nini?
Mimi ni mwanaume, niko na mchumba ambaye tunaishi kwa umbali mrefu sana kutokana na bado kutokua mke wangu, hivyo huwa tunakutana kwa masiku tu.
Sasa kilichonishangaza na kuomba msaada ni baada ya kukutana nae hapa karibuni nimeona anatokwa na kama vichembechembe vyeupe katika chuchu zake. Hivi ni ugonjwa au dalili ya nini?