Msaada kuufahamu huu wimbo

William Mwite

New Member
Joined
Jul 21, 2020
Posts
2
Reaction score
3
Habari wana JF!!
Kuna nyimbo naitafuta bila mafanikio. Inaimbwa "nilimwomba Mungu sana (sana sanaa), anipatie tunae pendana (namimi ndo maana). Siku zote mi nawe habibi siku zotee, tupo sote mi na wewe habibi tupo sote ""
 
Huyo atakuwa Jay combat tu, jamaa ni wamoto sana tangu last year.
 
Reactions: EEX
Wachaaaa we penzi lipo kileleni.....

Likifika kwenye "nimekutana na ex wangu amekonda mbwa yule" uje bro nna folder la GB 3
 
Si ndo mnapenda πŸ˜œπŸ˜…na mimi ni mkorofi kila sekta πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜… hata kama ni ya Nishati.
πŸ˜„πŸ˜„πŸ˜„πŸ˜„πŸ˜„πŸ˜„πŸ˜„ Karibu wizara ya kilimo na mifugo..
Utanikita nipo hapa nainjoi maisha.
Am single....
 
πŸ˜„πŸ˜„πŸ˜„πŸ˜„πŸ˜„πŸ˜„πŸ˜„ Karibu wizara ya kilimo na mifugo..
Utanikita nipo hapa nainjoi maisha.
Am single....
Ya Dodoma au Dar nikuibukie πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…hutaamini kumuona mtu kwenye mavazi ya kanisani πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…