Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Akili yako wewe 🤣🤣🤣🤣Utakua una ndefu sana mkuu inachoma hadi kwenye kizazi!!!
Hakuna kitu kama hicho, uke wa Ke uko karibu zaidi.Utakua una ndefu sana mkuu inachoma hadi kwenye kizazi!!!
Yenyewe maumivu hata siku 3 na kuendeleaKuna maumivu ya tumbo kitaalamu yanaitwa Mittelschmerz, huwatokea wanawake endapo watafanya tendo la ndoa kwenye siku za hatari tu!
Huwa ni maumivu ya kawaida tu na sometimes huwa hayahitaji dawa yeyote. Huweza kuja na tumbo la kukata, kukaza au kuuma ambayo huwepo kwa dakika, saa au siku, inategemea. Na maumivu yake sio makali, ni mara chache sana yanaweza kuwa makali sana.
Ila kiafya hutakiwi kuchukulia mambo kirahisi rahisi namna hii kwa sababu kuna uwezekano kukawa na tatizo kubwa ukapuuzia kwa kudhani ni jambo dogo kisha baadae ikaja kuwa shida.
Hivyo nakushauri, huu sio muda wa kuomba usaidiwe dawa ya kutumia. Ni vyema akaenda kufanya vipimo kabisa. Haya mambo sio ya kudharau kiasi hicho.
Tafadhar nisaidien, mke wangu anasumbuliwa sana na tumbo kila baada ya tendo la ndoa, tumbo humuuma sana mpk analia. Naomba anayejua tatizo nin na dawa gani,?
amefanya cancer screening hasa cervical.? pelvic inflamatory disease, probably akawa na tumorsTafadhar nisaidien, mke wangu anasumbuliwa sana na tumbo kila baada ya tendo la ndoa, tumbo humuuma sana mpk analia. Naomba anayejua tatizo nin na dawa gani,?
dah! nmekumbuka mambo ya pundaHakuna kitu kama hicho, uke wa Ke uko karibu zaidi.
Hakuna saizi ndefu ya uume wa Me kuzidi saizi husika ya uke ya Ke.
MFANO:
Tafuta punda ukiwakuta wanahondomora mambo kisha lete hapa majibu.