Msaada: Kuvimba uso, macho na kuuma kwa kichwa na uti wa mgongo

Msaada: Kuvimba uso, macho na kuuma kwa kichwa na uti wa mgongo

azzurre

Senior Member
Joined
Apr 14, 2013
Posts
107
Reaction score
96
Hi wana JF.

Nawashukuru sana wana JF kwa michango yao kwangu, namuomba mungu awape maisha bora hapa duniani na ya baadae.

Mimi huwa nasumbuliwa sana na maradhi ambayo sina uhakika wa jina lake lakini huwa napewa majina na nnao wa hadithia, namna nnavyo umwa, huwa naambiwa nna "HIJAB" au "MANGE" na ww unaweza ukawa najina la maradhi haya yanayonikabili.

Historia yake.
Tangu nizaliwe nilipata maradhi haya nikalazwa hospitali, kwn yalinivimbisha uso pamoja na kifua ikawa haijulikani macho, pua nk, nikafanyiwa uperesheni ya kutengeneza uso na shukuru uso umepungua ijapokuwa kwenye taya hakujarudi km asili yake.

Dalili za maradhi haya ni;
1. Kuumwa nakichwa sana.
2. Kuumwa na macho huwa yanawasha na kutoa machozi kwa sana, pamoja na macho kuwa mekundu sana.
3. Kuumwa uti wa mgongo hadi kwenye kisigino.
4. Kuvimba eidha kwenye fidhi au sehemu ya kichwa na kutoboka na kutoa harufu kali ya usaha.
5. Huwa sikauki flue, au huwa haikai muda mrefu inarejea flue na magua.
6. Ukitumia nyama ya ngombe, dagaa au viyu vyrnye baridi kali huwa nikichocheo cha kuengezeka maradhi.
7. Huwa naota ndoto mbaya sana, ikiwemo kuteswa, ndoto za kuruka, kuota nyoka mweusi nk.
8. Kuchoka sana, hata km ndo kwanza naamka kutoka usingizini.

Maombi yangu kwa wana JF
Naomba anayejua tiba ya kuondosha tatizo hili parmanent, kwn huwa natumia tiba linapungua alafu linakuja, na mara nyingi huwa ukitumia dawa za hospitali huwa haliondoki tatizo hata kidogo.

Naomba msaada wenu wana JF, Na zaidi Mzizimkavu proffessor.
 
Hi wana JF.
Nawashukuru sana wana JF kwa michango yao kwangu, namuomba mungu awape maisha bora hapa duniani na ya baadae.
Mm huwa nasumbuliwa sana na maradhi ambayo sina uhakika wa jina lake lakini huwa napewa majina na nnao wa hadithia, namna nnavyo umwa, huwa naambiwa nna "HIJAB" au "MANGE" na ww unaweza ukawa najina la maradhi haya yanayonikabili.
Historia yake.
Tangu nizaliwe nilipata maradhi haya nikalazwa hospitali, kwn yalinivimbisha uso pamoja na kifua ikawa haijulikani macho, pua nk, nikafanyiwa uperesheni ya kutengeneza uso na shukuru uso umepungua ijapokuwa kwenye taya hakujarudi km asili yake.
Dalili za maradhi haya ni;
1. Kuumwa nakichwa sana
2. Kuumwa na macho huwa yanawasha na kutoa machozi kwa sana, pamoja na macho kuwa mekundu sana.
3. Kuumwa uti wa mgongo hadi kwenye kisigino.
4.kuvimba eidha kwenye fidhi au sehemu ya kichwa na kutoboka na kutoa harufu kali ya usaha.
5. Huwa sikauki flue, au huwa haikai muda mrefu inarejea flue na magua.
6. Ukitumia nyama ya ngombe, dagaa au viyu vyrnye baridi kali huwa nikichocheo cha kuengezeka maradhi.
7.huwa naota ndoto mbaya sana, ikiwemo kuteswa, ndoto za kuruka, kuota nyoka mweusi nk.
8. Kuchoka sana, hata km ndo kwanza naamka kutoka usingizini.
Maombi yangu kwa wana JF
Naomba anaejua tiba ya kuondosha tatizo hili parmanent, kwn huwa natumia tiba linapungua alafu linakuja, na mara nyingi huwa ukitumia dawa za hospitali huwa haliondoki tatizo hata kidogo.
Naomba msaada wenu wana jf, ba zaidi Mzizimkavu proffessor
Mkuu pole sana kwa hayo maradhi yako

yanayokusumbuwa kabla ya kukupa ushauri utumie Dawa gani ya Tiba mbadala. Ningelikushauri uende Hospitali ukapime

vipimo vyote vya mwili wako ili tupate kujuwa ni nini chanzo cha Maradhi yako? Nenda Hospitali kapime Damu na mkojo

ikiwezekana pia kapime Mafigo yako yote mawili je yanafanya kazi kama kawaida ikiwezekana pia kapime Ukimwi kisha

njoo hapa na majibu kamili nitakupa ushauri Dawa gani ya kutumia. Ninarudia tena Pole sana Mkuu.@azzurre
 
Back
Top Bottom