MSAADA: Kuwashtaki NEC Kutokana na Wino wao usiofutika kidoleni

Huwa hamuogi wala kunawa kwa ujumla, simple! Muache uchafu! Mimi ulitoka wenyewe bila hata kutumia nguvu ndani ya wiki.

Wewe na mafalla wenzio wino ulitoka sababu wengine ni madobi na waosha magari.
Msijifananishe na sisi,kuoga kunahusiana vipi na wino ulioko kwenye kucha?
 
Wewe na mafalla wenzio wino ulitoka sababu wengine ni madobi na waosha magari.
Msijifananishe na sisi,kuoga kunahusiana vipi na wino ulioko kwenye kucha?

afadhali umewaambia.....wengi kweli wamekomalia eti hatuogi
kweli utasugua kidole na jiwe or
 
Mii sikupaka wino..lkn kura nilipiga,sijapata usmbf kama huo.
Nec walisema kwa kawaida wino huo unadumu kwa zaidi ya masaa 72,
Hivyo washitakiwe kwann hawakutoa ufafanuzi kuwa ikitokea wino umekaa zaidi ya wiki,Mpiga kura atumie nn kuondoa mi wino yao.
Wapeleke hao.
 

uliwezaje kutokupaka wino na kura ulipiga??
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…