Msaada: Kuwashwa njia ya haja kubwa


poa dadaangu, ntajitahd kwe kesho asubuh nipate vidonge kabla cjatia kitu kwa 2mbo.
 
Possibly ni minyooo...tabia ya minyoo ikishazidi tumboni huwa inaenda kutaga mayai kwenye anus(******) na hilo linapotokea ndipo unapojisikia kuwashwa mkunduni...kwa jinsi hii unapojikuna ukijisahau usinawe vizuri mikono yako ukiulamba huo mkono uliojikuna nao unakuwa umekula mayai ya minyoo hivyo inarudi tena tumboni ambako inajitotoa na kuzidi kuongezeka. Nakushauri upate dawa ya minyoo mapema sana..na ukujikuna huko mkunduni hakikisha mikono unanawa vizuri kabla ya kula.

Pole sana mkuu.
 
Ukienda nunua dawa za minyoo (common worn) kwenye phamacy unaweza kutatua hilo tatizo ila ni vizuri ukapime hospital kama unamuda
 
Kama umebadilisha sabuni tofauti na hiyo unayotumia au Kama unakawaida ya kujisaidia na kujifuta na tissue bila Maji .
 
Kama umebadilisha sabuni tofauti na hiyo unayotumia au Kama unakawaida ya kujisaidia na kujifuta na tissue bila Maji .

Sabuni labda lakn tissue huwa situmiagi mjumbe,
 
one of annoying diseases, huwa inatokea ila watu huwa hawapendi kusema tu kwasababu sehemu huu ugonjwa unapotokea huwa ni mbaya sana ksema mbele za watu. cha msingi tafuta dawa za kawaida tu za kupakaa utapona. mara nyingi husababishwa na unywaji wa pombe wa kupitiliza
 

hawa ni Pin worm ndo wana tabia hii hivo jaribu dawa kama walivyo suggest wengine na kama ungekuwa na mtu unashare nae kitanda ingebidi umtibu pia make huwa inahama esp usiku unapolala. All the best ktk matibabu
 
hawa ni Pin worm ndo wana tabia hii hivo jaribu dawa kama walivyo suggest wengine na kama ungekuwa na mtu unashare nae kitanda ingebidi umtibu pia make huwa inahama esp usiku unapolala. All the best ktk matibabu

Thank you mjumbe.
 
kuna ugonjwa unaitwa hemorroids aau bawasili, ule wa kuota nyama kny ******.. Pia huanza kwa style io ya kuwashwa.. So fatilia mapema mzee
 

Nasapot hili
 
nshakwambia acha kula kitimoto na pilipili nyiingi.huwa ina tabia ya kwenda kuwashia huko,usipoangalia utaliwa kithoda bila kupenda
 
mficha maradhi kifo umuumbua, ndugu madaktari wa humu ndani, nini husababisha muwasho au ni maambukizi ya nini na nini tiba ya mtu kuwa anawashwa sehemu ya haja kubwa! ni tatizo limeanza kama wiki sasa, nilikuwa manyara about one week ago ndipo tatizo lilipoanza, nikahisi labda ni maji niliyotumia ya kule kuoga na kujisafisha ndio yamepeleea hili tatizo nikahisi labda muwasho utaisha tuu, lakini tatizo naona limezidi sana sana nikitoka haja kubwa! nishaurini ndugu zangu madaktari nini cha kufanya
 
Subiri kidogo madokta watakujibu.

Sent from my BlackBerry 9700 using JamiiForums
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…