Msaada: Kwa aliye karibu na Ubalozi wa Tanzania Paris, Ufaransa

Msaada: Kwa aliye karibu na Ubalozi wa Tanzania Paris, Ufaransa

Peter1992

Member
Joined
Jan 13, 2013
Posts
7
Reaction score
1
Naomba msaada kwa yoyote alie karibu na embassy ya Tanzania iliyopo Paris.

Kuna scholarship nimepata ya kusomea udaktari wa upasuaji wa masuala ya ubongo na uti wa mgongo (neurosurgery) na ninahitajika kupeleka documents zangu kupitia embassy ya Paris ambayo inawakilisha pia na Morocco kwenda kwa Moroccan agency of international cooperation(AMCI) ili niweze kuunganishwa na chuo kwaajili ya kuanza masomo.

Nimeshatuma documents zote isipokuwa sijajibiwa na hata nikipiga simu hazipokelewi.

Natanguliza shukrani zangu.
 
Wew uko wap??kama uko Tanzania kwa nini usianze na ubalozi wa ufaransa uliopo dar then wakupe muongozo mkuu..mbona suala rahisi sana sababu hata resident permit utapata kupitia balozi ya ufaransa iliyopo Tanzania..fanya communication hapo bongo then mambo yatajipa.
 
Check PM, nimekuwekea email ya uongoz wa Diaspora na namba ya mmoja wa jamaa wa uongozi.
 
Wew uko wap??kama uko Tanzania kwa nini usianze na ubalozi wa ufaransa uliopo dar then wakupe muongozo mkuu..mbona suala rahisi sana sababu hata resident permit utapata kupitia balozi ya ufaransa iliyopo Tanzania..fanya communication hapo bongo then mambo yatajipa.
Nimeshafanya hivyo ile wamesema haiwezekani.
 
Naomba msaada kwa yoyote alie karibu na embassy ya Tanzania iliyopo Paris.

Kuna scholarship nimepata ya kusomea udaktari wa upasuaji wa masuala ya ubongo na uti wa mgongo (neurosurgery) na ninahitajika kupeleka documents zangu kupitia embassy ya Paris ambayo inawakilisha pia na Morocco kwenda kwa Moroccan agency of international cooperation(AMCI) ili niweze kuunganishwa na chuo kwaajili ya kuanza masomo.

Nimeshatuma documents zote isipokuwa sijajibiwa na hata nikipiga simu hazipokelewi.

Natanguliza shukrani zangu.
Ninachokijuwa mimi mji wa kiserikali wa Ufaransa ni Nice na siyo Paris.
 
Ndugu nisaidie na mm asee natafuta scholarship kusoma udaktari MD, sijapata bado.....nchi za kiingereza na Us
Mimi naomba nikushauri au nikupe muongozo, cha kwanza hakuna kinachoshindikana duniani na riziki inatoka kwa Mungu.

Lakini pamoja na hayo ukweli ni kwamba ni vigumu kupata scholarship kwa degree ya kwanza kama matokeo yako ni ya kawaida tu, scholarship za degree ya kwanza wanapata best student wenye matokeo yanayoshawishi hiki ni kichwa.

Sponsorship ambayo ni rahisi ni level ya Masters lakini bado na GPA wanazingatia pia na hakikisha unaenda kusoma kingereza kabisa na kufanya mitihani yao hasa nakushauri uende British council.

Scholarship zipo za kumwaga lakini kigezo namba moja ni matokeo yako, vipanga scholarship kwao ni kama kumsukuma mlevi.
 
Back
Top Bottom