siwacheusi
Member
- Jul 11, 2022
- 24
- 11
Yani tumbo jujuuu....mbona yamechelewa sanaa kuna nan?Hata mimi nasubiria, ila tujiandae kisaikolojia
Nilitoka kucheki wa mtendaji wa kata hawakubandikaYani tumbo jujuuu....mbona yamechelewa sanaa kuna nan?
Hata kutoa majina ya usaili walichelewaTemeke sijui wana shida gani huu ni uzembe wa hali ya juu haiwezekeni yaani semina kesho majina hayajatoka mpaka sasa kweli?
Uko na reference?Tuliopita tushatumiwa meseji
Huo sio utaratibu, ni lazma majina yatoke na eneo la kituo kwa ajili ya seminaTuliopita tushatumiwa meseji
Watu walibadilisha chama na wakaendelea kua wabunge sembuse sesna.Huo sio utaratibu, ni lazma majina yatoke na eneo la kituo kwa ajili ya semina
Reference ipiUko na reference?
Screenshot hiyo meseji utume humuTuliopita tushatumiwa meseji
semina yenyewe sio kesho mmeambiwa tar 31 jumapiliTemeke sijui wana shida gani huu ni uzembe wa hali ya juu haiwezekeni yaani semina kesho majina hayajatoka mpaka sasa kweli?
Na dhani sio kuwa nina tatizo is ipo kuwa nilitala kujua tu kama wengine wamepata au laah...na ndio maana kuwa na jukaa kama hiliMtoa mada una matatizo Unashindwa nini kusubiria? Kama uliweza kuvumilia mchakato wote tangu mwanzo unashindwa nini kusubiria muda huu, ukizingatia ushagundua ni tabia yao kuchelewa