Mbwa dume
JF-Expert Member
- Jan 15, 2014
- 5,934
- 10,206
Heshima kwenu!mimi ni kijana mwenye umri wa miaka 30
nasumbuliwa na tatizo la chunusi kubwakubwa usoni
nimejaribu kuuliza wataalamu wa masuala ya ngozi wakasema ngozi yangu ni ya mafuta hivyo nimejaribu kubadiri aina za lotion chunusi zinapungua then zinarudi tena!
hivi karibuni nikaona tangazo kuhusu kampuni ya Grace product ambao hutengeneza vipodozi asilia
nilifuatilia vipindi vyao kupitia channel ten
baada ya kuona shuhuda mbalimbali nikaamua kununua bidhaa zao sabuni na lotion kama nilivyoshauriwa na mtaalam wao na akanieleza tatizo litaanza kuisha baada ya siku 3!
hivi sasa ni zaidi ya wiki mbili nimesharudi mkoani kwangu naendelea na kutumia bidhaa hizi lakini chunusi zinazidi kila kukicha!
naomba mwenye uelewa na bidhaa hizi anijuze ikiwa kweli zinasaidia ama nitumie nini kumaliza tatizo langu...
natanguliza shukurani.....!
nasumbuliwa na tatizo la chunusi kubwakubwa usoni
nimejaribu kuuliza wataalamu wa masuala ya ngozi wakasema ngozi yangu ni ya mafuta hivyo nimejaribu kubadiri aina za lotion chunusi zinapungua then zinarudi tena!
hivi karibuni nikaona tangazo kuhusu kampuni ya Grace product ambao hutengeneza vipodozi asilia
nilifuatilia vipindi vyao kupitia channel ten
baada ya kuona shuhuda mbalimbali nikaamua kununua bidhaa zao sabuni na lotion kama nilivyoshauriwa na mtaalam wao na akanieleza tatizo litaanza kuisha baada ya siku 3!
hivi sasa ni zaidi ya wiki mbili nimesharudi mkoani kwangu naendelea na kutumia bidhaa hizi lakini chunusi zinazidi kila kukicha!
naomba mwenye uelewa na bidhaa hizi anijuze ikiwa kweli zinasaidia ama nitumie nini kumaliza tatizo langu...
natanguliza shukurani.....!