Msaada kwa anaefahamu brotherz!

saadmad

JF-Expert Member
Joined
Aug 12, 2011
Posts
573
Reaction score
295
bodi ndo vile loan imenitosa bt chuo nimepangiwa Tumaini University Iringa nilikua naomba msaada maana mpaka sasa nikienda ktk post box sioni admission latter hvyo ni mimi tu au pia vipo vyuo vingne mpaka sasa havijatuma admission? naombeni ufafanuzi wakubwa!
 
Admission letter c una2miwa au?
 
Angalia website ya Tumaini siku ya kufungua wanafunzi wa mwaka wa kwanza uende chuoni. Wengi huwa hawapati barua.
 
Nwdayz hawatumi, kutokana na uzembe wa hapa na pale, ni idad ya wanafunz ni weng. Unaweza ukaifatilia chuo, au siku ya kufungua chuo ukifika pale wanagawa barua. Mimi ndivyo nijuavyo mimi.
 
Nwdayz hawatumi, kutokana na uzembe wa hapa na pale, ni idad ya wanafunz ni weng. Unaweza ukaifatilia chuo, au siku ya kufungua chuo ukifika pale wanagawa barua. Mimi ndivyo nijuavyo mimi.
<br />
<br />
shukran mkubwa ckuwa na wazo kama hilo
 
Angalia website ya Tumaini siku ya kufungua wanafunzi wa mwaka wa kwanza uende chuoni. Wengi huwa hawapati barua.
<br />
<br />
ok hapo sawa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…