Naomba kujua hawa jamaa wanalipaje kwa Bachelor holder pamoja na marupurupu mengine, pia kama una information zao zaidi unaweza nipa.
Naomba kuwasilisha.
Hiki ni kiwanda cha mbolea ya kupandia ipo kama udongo hivi,kipo nje kidogo ya manispaa ya arusha na mdau wake mkuu ni kiongoz mkuu kama vipi ki google utaelewa zaid