Msaada kwa anaejua wanapouza vifungashio bei ya kiwandani

Msaada kwa anaejua wanapouza vifungashio bei ya kiwandani

Alex Makumbi

Member
Joined
May 25, 2022
Posts
6
Reaction score
4
Habari zenu wakuu
Naombeni msaada kama Kuna mtu anafahamu Wanapouza Vifungashio Kwa Bei ya Kiwandani kama vile chupa nzuri za kuwekea bidhaa au Kopo kama za kuwekea mafuta ya kupakaa mwilini iwe TANZANIA au KENYA
 
Yaani mtu akuuzie kitu sawa na bei ya kiwandani? Sasa faida yake itakuwa ni ipi?

Kitu unaweza kufanya kama order yako ni kubwa, fika kwenye viwanda vinavyounda plastic utengenezewe model yako pekee...
 
Yaani mtu akuuzie kitu sawa na bei ya kiwandani? Sasa faida yake itakuwa ni ipi?

Kitu unaweza kufanya kama order yako ni kubwa, fika kwenye viwanda vinavyounda plastic utengenezewe model yako pekee...
Ooooh Asante sana kiongoz[emoji120]
 
Yaani mtu akuuzie kitu sawa na bei ya kiwandani? Sasa faida yake itakuwa ni ipi?

Kitu unaweza kufanya kama order yako ni kubwa, fika kwenye viwanda vinavyounda plastic utengenezewe model yako pekee...
Wapo wanao uza kwa Bei ya Jumla Bei rahisi tu ila wao wanatoa Kenya,ila Kopo ninazo zitaka mm wao hawana
 
Back
Top Bottom