wasakatonge forever
Member
- Jul 15, 2024
- 19
- 15
Habarini wana JF : Kuna dogo apa amemaliza F4 last year ,alkua anasoma masomo ya sayansi lakin comb hazikubalance akapangwa HKL lakin nliongea naye na tukakubaliana n bora aende chuo moja kwa moja akasome kozi za ufundi,naombeni ushauri wenu tafadhali
-Ufaulu wake(phy ,Geo & B/math - D, Chem & bio - C ) english - C, alipata ll - 20
-Ufaulu wake(phy ,Geo & B/math - D, Chem & bio - C ) english - C, alipata ll - 20