kisha andika model yako humo itakwambia inahitaji RAM ya aina gani na kiasi gani kinaweza kuwa supported kisha pita maduka mawili matatu na hizo taarifa utajua pia unaweza kuagiza aliexpress etc.
Kama hauna model itabidi ufanye upelelezi wa karibu zaidi kujua una motherboard gani kisha igoogle kiujua specs zake.