msaada kwa anayefahamu kuhusu CBG

msaada kwa anayefahamu kuhusu CBG

Anaweza kupitia diploma kwanza yaani clinical officer then anaweza kusoma degree kwa kutumia cheti cha degree. Nazani umenifahamu.
 
unaweza kusomea udaktari wa binadamu!!!! wasikudanganye hao jamaa
 
unaweza kusomea bt vyuo vya private like bugando,kcmc etc broo anasoma apo alikua cbg...bt kuna coz nying za kusoma na zenye ela kuliko udaktar labda km unaupenda udaktar
 
unaweza kusomea bt vyuo vya private like bugando,kcmc etc broo anasoma apo alikua cbg...bt kuna coz nying za kusoma na zenye ela kuliko udaktar labda km unaupenda udaktar

labda ungenitajia kwanza hizo kozi mkuu
 
Back
Top Bottom