Lio 002
JF-Expert Member
- May 10, 2014
- 436
- 68
Habar wana jf mm ninataka niwe wakala wa mpesa,airtel money,tigo pesa na Luku lakini sijuwi gharama za hivi vitu plz kwa anaejuwa naomba anielekeze Mpesa gharama yake shilling ngapi,airtell money shilling ngapi gharama zaka,tigo pesa gharama zake kiasi gani na Luku gharama zake ni kiasi gani plz naombeni mnisaidie jaman kwa anayefahamu
Thanx in advance
Thanx in advance