Habar wana jf mm ninataka niwe wakala wa mpesa,airtel money,tigo pesa na Luku lakini sijuwi gharama za hivi vitu plz kwa anaejuwa naomba anielekeze Mpesa gharama yake shilling ngapi,airtell money shilling ngapi gharama zaka,tigo pesa gharama zake kiasi gani na Luku gharama zake ni kiasi gani plz naombeni mnisaidie jaman kwa anayefahamu
Thanx in advance
chukua machine ya max malipo itakusaidia kuuza luku na kuhusu hizo line kuna watu wanaziuza humu jf tembelea site ya matangazo madogo madogo utapata.ukitaka kupata kutoka voda na tigo inawezekana ila itabidi usiwe na haraka maana watakusubirisha sana
MaxMalipo itamfaa sana kozi ukiwa nayo huna haja ya kuwa na line ya M-Pesa Max Malipo iko connected na huduma za M-Pesa, pia ataweza kuuza umeme wa Luku na wa Meter za kawaida kwa baadhi ya maeneo pia una uwezo wa kuuza mda wa maongezi voda/tigo/airtel rusha
utauza vifurushi vya tv's kama dstv, azam tv n.k pia kulipia bili za maji kama dawasco n.k n.k kama uko waone ofisini kwa Millenium Tower Kijitonyama
MaxMalipo itamfaa sana kozi ukiwa nayo huna haja ya kuwa na line ya M-Pesa Max Malipo iko connected na huduma za M-Pesa, pia ataweza kuuza umeme wa Luku na wa Meter za kawaida kwa baadhi ya maeneo pia una uwezo wa kuuza mda wa maongezi voda/tigo/airtel rusha utauza vifurushi vya tv's kama dstv, azam tv n.k pia kulipia bili za maji kama dawasco n.k n.k kama uko waone ofisini kwa Millenium Tower Kijitonyama
Gharama yake ni shillingi ngapi?
kuna mtu niliemenda kumchukulia mashine ya MaxMalipo mwezi wa nane mwaka pale millenium Tower na Training nilipewa mimi mwenyewe Huduma ya M-Pesa ipo na walisema wako kwenye mazungumzo na Tigo na Airtel kwa ajili ya kuweka Airtel-money na Tigo-PesaMkuu Nafikiri voda hawana ubia na Max-malipo kufanya m-pesa