Wewe acha kujidanganya, sheria za UK ni ngumu, kwanza yeye mwenyewe anaishi kwa status gani huko UK? IMagine kama watangazaji wa BBC Swahili walikuwa wanasumbuliwa kipindi cha kujaza fomu kwenda na familia zao UK ndio itakuwa mbeba box?
Cha msingi kama ana uwezo amlipie shule UK na atakwenda kama mwanafunzi, zipo namna nyingi za kumsaidia huyo mtoto, lakini je mna uhakika na huyo Baba mtu maisha yake yakoje huko UK? Msidhani kila aliyepo Ulaya ni mambo safi, kuna watu wamepigika huko huko Ulaya.