Msaada: Kwa anayefahamu soko la HortCulture hapa Tanzania

stormryder

JF-Expert Member
Joined
Mar 23, 2013
Posts
3,776
Reaction score
5,786
mimi ni kijana wa kitanzania ninayetaka kujiingiza katika biashara ya kilimo cha matunda na mboga mboga ninaandaa business plan lakini nimekwama katika kuandika market analysis kutokana na kutopata takwimu muhimu. napenda kupokea mawazo yako WhtatsApp +255714729460
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…