Ulivyo kata tamaa mapema, mhhhhh.
Any way ungejaribu kuwacheki ili uwasikie wenyewe, zaidi ya hapo chuo cha kilimo ninacho kifahamu na kiko poa ni cha UYOLE-MBEYA.
Ulivyo kata tamaa mapema,
mhhhhh.
Any way ungejaribu kuwacheki ili uwasikie wenyewe, zaidi ya hapo chuo
cha kilimo ninacho kifahamu na kiko poa ni cha UYOLE-MBEYA.
jaman mnisaidie jinsi ya kujiunga na vyuo vya kilimo kama mati mtwara na mati ukiriguru kwani nia4 point 26 mwaka 2012 c ya phy na chem but masomo yote yanayobaki d
Jamani habari asubuhi wote?Ndugu zangu naomba kama kuna mtu anafahamu kuwa nafasi za kujiunga na chuo wizara ya kilimo na mifugo anijuze tafadhali sana nisaidieni kwa hlo jaman.