M mtumakin Member Joined Aug 12, 2013 Posts 23 Reaction score 6 Sep 6, 2013 #1 Nimehamia dodoma kimaisha ,nataka kufuga kuku nataka kujua ni kuku gani wenye soko dodoma kati ya mayai na wanyama.natangululiza shukran.
Nimehamia dodoma kimaisha ,nataka kufuga kuku nataka kujua ni kuku gani wenye soko dodoma kati ya mayai na wanyama.natangululiza shukran.
Katitima JF-Expert Member Joined Jun 28, 2013 Posts 630 Reaction score 121 Sep 6, 2013 #2 Wote wana deal mkuu ila wa nyama ni zaid ya wa mayai.