Msaada kwa anayejua biashara ya agent wa bia na soda

Msaada kwa anayejua biashara ya agent wa bia na soda

Joined
May 10, 2016
Posts
8
Reaction score
1
Wanajamvi naombeni msaada kwa anayejua ni taratibu gani zinatakiwa kufuatwa kwa mtu anaye taka kuwa wakala wa bia au soda na je faoda yake inapatikanaje?
 
mim ninauza soda za jumla, lakini sio agent kwa maana ninayojua mim, maana agent huwa anauza soda za aina moja tu kama coca au pesi, so kama unataka kujua kuhusu biashara ya soda za jumla, utasema
 
mim ninauza soda za jumla, lakini sio agent kwa maana ninayojua mim, maana agent huwa anauza soda za aina moja tu kama coca au pesi, so kama unataka kujua kuhusu biashara ya soda za jumla, utasema
Nahitaji mimi mkuu
 
Mkuu niwekee am intereste kama na maji na majuice unauza weka pia.

Ahsante.

mim ninauza soda za jumla, lakini sio agent kwa maana ninayojua mim, maana agent huwa anauza soda za aina moja tu kama coca au pesi, so kama unataka kujua kuhusu biashara ya soda za jumla, utasema
 
Mkuu niwekee am intereste kama na maji na majuice unauza weka pia.

Ahsante.
Kwa mfano ukitaka kuwa Agent wa Bia, kwanza kuna kiwango cha mtaji ambacho kinahitajika not less than 100m, pili uwe na eneo la kuhifadhia mzigo, tatu uwe na gari zisizopungua mbili za kuisambazia bidhaa, na pia location iwe haina agent mkubwa mwingine.

Lakini kama ni wakala wa vinywaji mdogo, unaenda kwa maagent wakubwa wanakuuzia kwa bei ya Jumla unapata faida yako kidogo.
kwa jinsi mzunguko wako wa biashara ulivyo ndivyo utakavyokuwa ukipata faida zaidi.
 
Yah upo sahihi mkuu...tena hawana negotiation yoyote hile kwenye vigezo vyao hivyo.
Kwa mfano ukitaka kuwa Agent wa Bia, kwanza kuna kiwango cha mtaji ambacho kinahitajika not less than 100m, pili uwe na eneo la kuhifadhia mzigo, tatu uwe na gari zisizopungua mbili za kuisambazia bidhaa, na pia location iwe haina agent mkubwa mwingine.

Lakini kama ni wakala wa vinywaji mdogo, unaenda kwa maagent wakubwa wanakuuzia kwa bei ya Jumla unapata faida yako kidogo.
kwa jinsi mzunguko wako wa biashara ulivyo ndivyo utakavyokuwa ukipata faida zaidi.
 
Back
Top Bottom