Habari wanaJF,
Naomba kujuzwa ni jinsi gani naweza kupata information za bei ya mazao masokon kama data. Kwa mfano kariakoo, nia na madhumun ya data hizo ni kuweka kwenye website ambayo niko mbioni kumalizia, tatizo ni data jinsi ya kuzipata.
Kwa yoyote mwenye uelewa naomba msaada