Wadau naomba mnisaidie mtu anayejua jinsi ya kutengeneza pipi na marigafi zinapatikana wapi, na kuweza kupata radha tofaut tofut, au kama unajua wapi pa kupata ushauri pia nitashukuru.
Na pia je vifaa gan vinatumika na vinaweza kupatikana wapi?
wadau naomba mnisaidie mtu anayejua jinsi ya kutengeneza pipi na marigafi zinapatikana wapi, na kuweza kupata radha tofaut tofut, au kama unajua wapi pa kupata ushauri pia nitashukuru. na pia je vifaa gan vinatumika na vinaweza kupatikana wapi
... wakati unasubiri Wataalamu waje, jaribu kuulizia SIDO. Sina hakika, lakini ninadhani wanaweza kuwa na Ma-utaalamu hayo kama sehemu ya "Food Processing".