Ninaomba msaada kwa yeyote anayejua makampuni haya ya bima ya kimataifa kama yako hapa Tanzania au yana agents/representatives wao. kama unayajua hata kama siyo yote naomba mawasiliano yao tafadhali,
kama hutajisikia vizuri kuweka mawasiliano hapa basi nitumie kwa email: asanteboniface@gmail.com au
kwa text message/ whatsapp +255 655 25 55 54, msaada wenu tafadhali.
ZURICH INSURANCE
ING
AIA
AXA
SBER BANK
ALLIED IRISH
MET LIFE
PING AN
AIG
ALLIANZ
CHINA LIFE INSURANCE
Nenda kwenye website ya TIRa (Tanzania insurance regulatory authority) hapo utapata orodha ya kampuni zote za bima, agents, brokers). Usipopata hapo hizo unazoziulizia jua hazipo Tanzania