Msaada kwa anayejua ninakoweza kupata dawa ya mazao aina ya Snow tiger!

Msaada kwa anayejua ninakoweza kupata dawa ya mazao aina ya Snow tiger!

mpenda arage

JF-Expert Member
Joined
Nov 10, 2015
Posts
1,677
Reaction score
3,806
Wakuu nawasalimia. Kama kichwa kinavyojieleza. Nina shida ya dawa ya kuzuia mnyauko tajwa hapo juu. Kwa anayejua ninakoweza kuipata kwa Dar es Salaam naomba nielekezwe kabla mambo hayaharibika. Natanguliza shukran.
 
Back
Top Bottom