American nigga
JF-Expert Member
- Aug 8, 2014
- 673
- 974
Powa, London yupo mtu anasafirisha kwa kilo £4 kwenda zanzibar, Dar ni £5 kwa kilo, kufika mzigo ni week moja tu. Ndio njia rahisi sana
anaitwa nani? ana kampuni? kampuni yake inaitwaje? ana uzoefu wa muda gani na sisi tunaweza kumwamini vipi? ana ofisi dar? hata godoro anasafirisha kwa 5GBP kwa kilo? nina magodoro ishirini nataka kuyasafirisha november.
OP: tumia njia zote lakini epuka sana Fedex, wakala wao wa dar kaajiri genge la vibaka kazi yao ni kukwapua parcel wanazohisi ziko valuable, pesa wanagawana na mabosi wao halafu wewe wanakuchinjia baharini.
anaitwa nani? ana kampuni? kampuni yake inaitwaje? ana uzoefu wa muda gani na sisi tunaweza kumwamini vipi? ana ofisi dar? hata godoro anasafirisha kwa 5GBP kwa kilo? nina magodoro ishirini nataka kuyasafirisha november.
OP: tumia njia zote lakini epuka sana Fedex, wakala wao wa dar kaajiri genge la vibaka kazi yao ni kukwapua parcel wanazohisi ziko valuable, pesa wanagawana na mabosi wao halafu wewe wanakuchinjia baharini.
Mkuu godoro halisafirishwi kwa ndege ila kama kamzigo kako kadogo kama box na Vitu vyengine bei ndo hio, kuna mizigo huwezi kusafirisha kwa ndege ni gharama kubwa, kwa ushauri magodoro ni contena, huyo mtu yupo barking, East London.