Msaada kwa anayejua

Msaada kwa anayejua

Lyatuu the Great

JF-Expert Member
Joined
Nov 5, 2013
Posts
212
Reaction score
85
Je unawezaje kupata kazi ya kuwa mkufunzi katika chuo? Maana ni moja kati ya kazi ninayopenda.
 
je nikitaka kuitoa post yangu humu jf nafanyaje? Msaada kwa anayejua pls
 
Je unawezaje kupata kazi ya kuwa mkufunzi katika chuo? Maana ni moja kati ya kazi ninayopenda.

Ualimu ni wito we anza hata shule ya kata huko vyuoni wanataka GPA za 4.5/5 unaeza pata? Ama upige hadi PhD, mi sipendi kbs hiyo kazi huea naona kama ina gundu tu hasa unapoona walimu wanakimbia vyo na kuwa wabunge, wanafungua Bar, bado scandal za kugegeda
 
Back
Top Bottom