mrsleo
JF-Expert Member
- Jan 13, 2014
- 2,588
- 3,877
Habari wapendwa.
Nahitaji msaada au ushauri wa kimatibabu kwa yeyote aliwahi kuugua OVARIAN CYST, hata kama hujawahi kupata tatizo hilo ila kuna mtu unaemfahamu aliwahi kusumbuliwa na tatizo hilo akapona, ni hospitali gani au daktari gani mzuri wa ugonjwa huo, its very urgent plz, hata wanaume ambao wanaweza kuwa na msaada karibuni kuchangia
Nahitaji msaada au ushauri wa kimatibabu kwa yeyote aliwahi kuugua OVARIAN CYST, hata kama hujawahi kupata tatizo hilo ila kuna mtu unaemfahamu aliwahi kusumbuliwa na tatizo hilo akapona, ni hospitali gani au daktari gani mzuri wa ugonjwa huo, its very urgent plz, hata wanaume ambao wanaweza kuwa na msaada karibuni kuchangia