Msaada kwa anejua malipo ya korosho Mtwara

G 25

Member
Joined
Mar 4, 2013
Posts
56
Reaction score
6
Ni mjasiriamali niliuza korosho kwa mfumo wa stakabadhi ghalani tangu tr.15 September, mpaka leo nasikia hawajaanza kulipa' please kwa mwenye kujua naomba anifahamishe'
 
Mtwara waliandamana jana mmoja kapigwa na kitu kitu chenye ncha kali
 
Mtwara waliandamana jana mmoja kapigwa na kitu kitu chenye ncha kali'
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…