Siyo kana kwamba siwez math kaka! Ila siuna jua tu necta... math naiweza
MIMI NI MWL. WA SHULE MOJAWAPO Tz AMBAYO INA ADVANCED LEVEL TU! SO NAFAHAMU
Kama utapata shule itakayokukubali usome huo mchepuo nenda kasome. Sasa kama ulivyoelezwa kuna BAM huko na watu huu.
Kama ni kweli ulipata F ya namba bahati mbaya wewe mwenyewe wajua. Sasa zingatia haya yafutayo
1.Utatakiwa unapoingia shule lengo lako liwe ni kupata daraja la 1.3 na si vinginevyo
2.Hakikisha haupati chini ya daraja C katika somo la Historia na Jiografia tangu unaaingia A-level hadi mtihani wako wa mwisho wa NECTA
3.Komaa sana na somo la uchumi pia ila History na Geo iwe uti wa mgongo wako siku zote. Haya masomo yatakusaidia sana coz umeshakua na udhaifu katika Hesabu.
4.Usionyeshe udhaifu uwapo darasani hasa kuwa makini na watu watakaoweza kukuvuruga usiwe makini na malengo yako.
Mimi nasema hili linawezekana kwa sababu niliishi chumba kimoja A-level miaka 2 na jamaa aliyekua na tatizo kama lako la Hesabu na akarudisha nyumbani daraja la kwanza na point 9.
Wengi wanafanya vizuri katika historia na geo kwa hiyo zingatia sana.
Wapo wenye mifano mingi positive watakuja hapa kukusaidia.
Kila lakheri
Mmmmmh! Mbona mnanitisha aiseeeeee
Samahani wakuu mim ni kijana niliye maliza form 4 mwaka jana 2013, sasa ninaipenda comb ya HGE napenda sana kusomea uchumi
Sasa kulingana na matokeo yangu Mathematics nimepata F, vp ninaweza kusoma comb hiyo..?
Usitishike ndugu yangu hii ndio dunia na watu kama hawa wapo!!!
Labda nianze kwa kukupongeza kwa kuwa na moyo huo wa kuendelea kusona math (bam) bila kujali historia yako!!! Kwa hilo hongera sana!!!
Kusoma kwa levo ya advance na olevo ni tofauti sana!!! Kama mdau alivyosema hapo juu, binafsi nakushauri uende hge!!! Kwanini????
Kama unaipenda hge, kama unapenda uchumi nenda kasome ndugu yangu hamna linaloshindikana kama tu utakua na nia thabiti katika masomo yako!!!
Kuna mifano hai kabisa watu walikua na f za maths ya olevo na wakaenda private kusoma maths tena pure maths na mwisho wa siku wakapiga one kali na hapa nnavoandika wapo vyuoni na wanakimbiza kama kawaida!!!
medyzo ukianza kuangalia ulipata nini kamwe hutafika kwa sasa focus kwenye "unataka nini hasa katika maisha yako ya baadae"!!!
Ukiwa na nia(passion) toka moyoni hakuna linashindikana hata kama watu au wenzio watakukatisha tamaa!!!
Utapata mawazo mengi sana na mengine ya kukutasha tamaa, lakini amini nakwambia f yako ya form four isiwe kikwazo katika future yako!!!
Ipende hesabu hasa utapoenda form5 amin lazima tu utafanikiwa!! Achana na historia angalia maisha yajayo na mtu asikukatishe tamaa!!! Kila la heri na maandalizi mema ya form5!!
Kwa private school unaweza enda soma HGE pamoja na kupata F ya math o-level na ukamudu vizuri sana.
Lakini sasa ukiendelea kusoma uchumi chuoni au fani nyingine zinazofanana na hizo itakusumbua sana kwenye ajira na hiyo ''F ya Maths ya O-level''.
Hapana kaka katika hge
>>>> hiyo E ni Economy
nenda private baadhi ya shule wanachukua tu,nimesoma na wengi tu hge.HGE wengi kwanza huwa wanakimbia bam ila ukitaka upate course nyingi chuo BAM usikimbie ndugu.tafuta shule ya private kwa gvt sidhaniSiyo kana kwamba siwez math kaka! Ila siuna jua tu necta... math naiweza
kasome wewe private.watu wanaenda PCB wana D math. HGE f kibao,hadi ECA,Mbona baadh ya watu wameniambia inawezekana.!?
sikuhizi BAM kuna section a tu na unajibu maswali yote kumi tu.ni simple ukifuatilia na ku solve maswali mengi.kijana kakomae maana wengi huwa wanadharau BAM.jamaa yangu o level katoka na A Ya hesabu,kapiga PCB KATOKA NA mswaki wa BAMBAM yenyewe ni kama GS tu ina F na S hata ukipata 100 au 48 unawekewa S tu. Akomae tu mbona wengine tuliing'ang'ania hivyohivyo though kuna Calculus ataikuta huko kwenye BAM hiyo topic ni shidaaa kwa tusiojua maths ila uzuri iko section A hesabu ukikomaa na section B tu mbona una S tayari.
pia mtoa maada kama unandoto na uchumi basi anza twishen ya crash kama inawezekana ,advance kasome bam kwa msuli wa kupata a hata kama wanaweka s .lasivyo pure economics is like a pure science .kuna mahesabu balaa jamani.yaani mtu unabadilika kuwa calculator.,,,..econometrics???/samahani wakuu mim ni kijana niliye maliza form 4 mwaka jana 2013, sasa ninaipenda comb ya hge napenda sana kusomea uchumi
sasa kulingana na matokeo yangu mathematics nimepata f, vp ninaweza kusoma comb hiyo..?
its economics brother.
halafu kumbuka kuwa baraza la mitihani la taifa ndiyo kipimo cha kufaulu ama kufeli.
kupata kwako F katika mathematics inathibitisha kuwa huna sifa za kusoma HGE wala usilazimishe kuwa unajua hesabu.
huna sehemu nyingine ya kujitetea, btw, mlishushiwa sana grades kwa mwaka wenu mpaka 19, mpaka hapo ukafeli?
pia mtoa maada kama unandoto na uchumi basi anza twishen ya crash kama inawezekana ,advance kasome bam kwa msuli wa kupata a hata kama wanaweka s .lasivyo pure economics is like a pure science .kuna mahesabu balaa jamani.yaani mtu unabadilika kuwa calculator.,,,..econometrics???/
History
Geography
English
Sasa bwana mdogo Mathematics inaingiaje hapo?
na ualimu wako wote hapa umedanganya!!! Si kweli mwanafunzi kupata f au d ya somo useme ashindwe kusoma somo husika advance!!! Nyie ndio sampuli ya waalimu msiojua nini maana ya elimu!!
Asante sana dada angu kwa kunitia moyo! Mungu akutangulie