Salaam wakuu
Mim ni mjamzito wa miezi mitano,tatizo nililonalo ni maumivu niyapatayo upande wa kushoto kwenye kiuno,kwa kweli huwa naumia sana nikitembea na hata nikikaa vile vile bdo nahisi yaani huwa kama kuna kitu kinanichoma.Tafadhali mwenyewe kujuwa nin sababu ya hii kitu na tiba yake.
Wassalam