Desire mobutu seseseko
JF-Expert Member
- Aug 21, 2018
- 987
- 1,426
mwenye eneo tu inatosha mkuuUnataka kuwe na dalali au unataka mwenye eneo
Mwakata uli mwee?Habari ya mihangaiko ya hapa na pale wakuu.. poleni na kadha ya kupanda bei kwa vitu nchini unaochangiwa na kupanda kwa bei za mafuta..
niende moja kwa moja kwenye point naomba msaada wa kujuaa gharama za shamba kuanzia hekta 1 kwa baada nilifanyie kama makazi..napendekeza kwa maeneo ya VWAWA..MLOWO na VIJIJI VYAKE..!!
Natanguliza shukran zangu za dhati! Ahsanye
Sent from my Nokia 2.2 using JamiiForums mobile app
Nicheki tuyajenge 0620739290Habari ya mihangaiko ya hapa na pale wakuu.. poleni na kadha ya kupanda bei kwa vitu nchini unaochangiwa na kupanda kwa bei za mafuta..
niende moja kwa moja kwenye point naomba msaada wa kujuaa gharama za shamba kuanzia hekta 1 kwa baada nilifanyie kama makazi..napendekeza kwa maeneo ya VWAWA..MLOWO na VIJIJI VYAKE..!!
Natanguliza shukran zangu za dhati! Ahsanye
Sent from my Nokia 2.2 using JamiiForums mobile app