Msaada kwa mainjinia wa ujenzi

Msaada kwa mainjinia wa ujenzi

mwanga mweusi

JF-Expert Member
Joined
Dec 21, 2020
Posts
276
Reaction score
452
Salam wakubwa,

Mimi ni kijana nimesomea veta ujenzi wa majumba najua kusoma ramani na kuchora pia (hii ya kuchora sio rasmi hua nawafanyia watu wanachokimudu) nishajenga vinyumba vikubwa vikubwa ila sijawai kua chini ya injinia nakua chini ya fomen sasa kuna kazi imetoka mahali kubwa tu nishaomba kazi nikakubaliwa nikajuzwa siku ya usaili wa mainjinia.

Sasa naomba muongozo ni kama vitu gani nitaulizwa ili niwe najiamini maana sijawahi hojiwa kiivyo kama kuna ishu yeyote hua natoa maelezo na kupokea maelekezo toka kwa inginia ila kwa hapa hata sijui wataniuliza nini au kinafanana na nini kwenye vipimo nipo vizuri sasa nahisi watauliza maswali ya mtego bila mm kujua.

Naomba mwenye uelewa anipe njia au ni vitu vipi watakua wanadili navyo sana ili nisiboronge.

naomba resho inayotakiwa kwenye ujezi kwenye msingi, plaster, floor, nguzo, linter, nk


ASANTE
 
Tunauza mbao kwa bei ya jumla.Njoo ofisini kwetu TEGETA tukuhudumie kwa gharama nafuu sana:-
2*2 fut12=2500
2*2 fut12(treated) ya dawa=2800
2*2 fut18(treated) ya dawa=5000
2*4 fut12 treated(ya dawa)=5000
2*4 fut12 isiyo ya dawa=4500
1*6 fut12=5000
1*8 fut12=8500
1*8fut12 ya fisher board(treated)=9500
1*10 fut12=13500
1*10fut 18 fisher board( treated)=15500
2*4 fut18(treated)=9500
2*6 fut12=8000
1*4 fut12=2800
2*6 fut 18=19000
Tunapatikana muda wote kwa namba za simu zifuatazo:-
----0759630751
----0687371138
----0654830416

vile vile kuna huduma ya kuchana,kuranda na kusize mbao inapatikana ofisini kwetu
acha kufanya spamming maku wewe

Moderator
 
Tunauza mbao kwa bei ya jumla.Njoo ofisini kwetu TEGETA tukuhudumie kwa gharama nafuu sana:-
2*2 fut12=2500
2*2 fut12(treated) ya dawa=2800
2*2 fut18(treated) ya dawa=5000
2*4 fut12 treated(ya dawa)=5000
2*4 fut12 isiyo ya dawa=4500
1*6 fut12=5000
1*8 fut12=8500
1*8fut12 ya fisher board(treated)=9500
1*10 fut12=13500
1*10fut 18 fisher board( treated)=15500
2*4 fut18(treated)=9500
2*6 fut12=8000
1*4 fut12=2800
2*6 fut 18=19000
Tunapatikana muda wote kwa namba za simu zifuatazo:-
----0759630751
----0687371138
----0654830416

vile vile kuna huduma ya kuchana,kuranda na kusize mbao inapatikana ofisini kwetu
Mkuu JF ni tofauti na FB ngoja watata waje
 
Weka picha za hizo mbao.
Na jumla unaanzia pcs ngap?
Tunauza mbao kwa bei ya jumla.Njoo ofisini kwetu TEGETA tukuhudumie kwa gharama nafuu sana:-
2*2 fut12=2500
2*2 fut12(treated) ya dawa=2800
2*2 fut18(treated) ya dawa=5000
2*4 fut12 treated(ya dawa)=5000
2*4 fut12 isiyo ya dawa=4500
1*6 fut12=5000
1*8 fut12=8500
1*8fut12 ya fisher board(treated)=9500
1*10 fut12=13500
1*10fut 18 fisher board( treated)=15500
2*4 fut18(treated)=9500
2*6 fut12=8000
1*4 fut12=2800
2*6 fut 18=19000
Tunapatikana muda wote kwa namba za simu zifuatazo:-
----0759630751
----0687371138
----0654830416

vile vile kuna huduma ya kuchana,kuranda na kusize mbao inapatikana ofisini kwetu
 
Back
Top Bottom