mwanga mweusi
JF-Expert Member
- Dec 21, 2020
- 276
- 452
Salam wakubwa,
Mimi ni kijana nimesomea veta ujenzi wa majumba najua kusoma ramani na kuchora pia (hii ya kuchora sio rasmi hua nawafanyia watu wanachokimudu) nishajenga vinyumba vikubwa vikubwa ila sijawai kua chini ya injinia nakua chini ya fomen sasa kuna kazi imetoka mahali kubwa tu nishaomba kazi nikakubaliwa nikajuzwa siku ya usaili wa mainjinia.
Sasa naomba muongozo ni kama vitu gani nitaulizwa ili niwe najiamini maana sijawahi hojiwa kiivyo kama kuna ishu yeyote hua natoa maelezo na kupokea maelekezo toka kwa inginia ila kwa hapa hata sijui wataniuliza nini au kinafanana na nini kwenye vipimo nipo vizuri sasa nahisi watauliza maswali ya mtego bila mm kujua.
Naomba mwenye uelewa anipe njia au ni vitu vipi watakua wanadili navyo sana ili nisiboronge.
naomba resho inayotakiwa kwenye ujezi kwenye msingi, plaster, floor, nguzo, linter, nk
ASANTE
Mimi ni kijana nimesomea veta ujenzi wa majumba najua kusoma ramani na kuchora pia (hii ya kuchora sio rasmi hua nawafanyia watu wanachokimudu) nishajenga vinyumba vikubwa vikubwa ila sijawai kua chini ya injinia nakua chini ya fomen sasa kuna kazi imetoka mahali kubwa tu nishaomba kazi nikakubaliwa nikajuzwa siku ya usaili wa mainjinia.
Sasa naomba muongozo ni kama vitu gani nitaulizwa ili niwe najiamini maana sijawahi hojiwa kiivyo kama kuna ishu yeyote hua natoa maelezo na kupokea maelekezo toka kwa inginia ila kwa hapa hata sijui wataniuliza nini au kinafanana na nini kwenye vipimo nipo vizuri sasa nahisi watauliza maswali ya mtego bila mm kujua.
Naomba mwenye uelewa anipe njia au ni vitu vipi watakua wanadili navyo sana ili nisiboronge.
naomba resho inayotakiwa kwenye ujezi kwenye msingi, plaster, floor, nguzo, linter, nk
ASANTE