Msaada kwa mama mjamzito

Big Dy

JF-Expert Member
Joined
Dec 23, 2015
Posts
478
Reaction score
585
habari za mda huu wadau,
earlier nilikuja na uzi wa wife kutapika sana na kuchoka na kulala mda mwingi katika kipindi hichi cha mwanzo wa mimba (first trimister),nashukuru Mungu kwa sasa hajambo amefikisha 15weeks.
Ila sasa shida tuliyonayo ni kilaa baada ya kula tumbo lake linamjaa sana mithili ya kitenesi linakua gumu kweli kweli ilaa baada ya mda linaachia, Pili amekua akitokwa na matone ya damu ya rangi ya dark brownish japo si mara chache sana. Naomba kujuzwa inaweza kuwa ni tatizo gani na nini suluhisho lake?
 
Nakubali kuwa JF ndiyo mwisho wa mambo yote ila; Nenda kampime vipimo vyote. Ultra sound etc. Tena huenda hiyo mimba ni watoto mapacha.
Pia watakuwa jike dume. Mlishe vizuri mama na mpe rest ya kutosha. Najua wengi wenu huwa mnajisugua sugua naye ila usiingie ndaani sana. Mchezee tu juu juu
 
Nakushauri mpeleke klinik haraka..

..amekuwa akitokwa na matone ya damu ya ranging ya dark brownish..

Hayo matone yanatoka sehemu gani.?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Asante mkuu,hiyo pia nimeambiwa tustopishe kwanza kwa kipindi hichi
 
Braxton Hicks kwa mama wa wiki 15? Ushauri pia aende hospitali kwa uchunguzi zaidi hayo matone ya brownish yanweza kuwa sio mazuri

Sent using Jamii Forums mobile app

Yeah, early pregnancy unaweza kupata Braxton hicks. Wiki za mwanzo tu za 2 nd trimester. Zikiwa na maumivu au mara kwa mara na kuzidi dakika 2 ndipo aende kwa obgyn. Ila matone ya damu huyo kesi ingine
 
Asante mkuu,hiyo pia nimeambiwa tustopishe kwanza kwa kipindi hichi

Umeambiwa na nani?? Hivi unamjua mama aliye katika hali ya uja uzito?? Huwa anatamani visivyotamanika pia. Usimnyime haki yake akitaka hivyo tumia nilivyokuelekeza. Usizamishe sana tu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…