Habari zenu wana bodi!
Kuna mwana mke ambae ana mtoto wa miezi mitano, bahati mbaya baba wa mtoto hakukubali kuishi tena na yule mwanamke baada ya kujua ana ujauzito. Huyu mwanamke alipata Boyfriend ambae yupo nae hadi ivi sasa na hawajawai kufanya tendo la ndoa. Lakini siku za hivi karibuni amekua nahisia kali sana za kuhitaji akutane na huyo boyfriend wake kimwili. Je? Kuna madhara yanayoweza kutokea kwa mtoto kwa kufanya hilo tendo na kama yapo ni njia gani anaweza kufanya ili ku yaepuka pia hata kukabiliana na iyo hali.
N:B maziwa ya mama wa mtoto pia hayatoki.
Jumatatu Njema!
Copy:
MziziMkavu
gfsonwin
Kuna mwana mke ambae ana mtoto wa miezi mitano, bahati mbaya baba wa mtoto hakukubali kuishi tena na yule mwanamke baada ya kujua ana ujauzito. Huyu mwanamke alipata Boyfriend ambae yupo nae hadi ivi sasa na hawajawai kufanya tendo la ndoa. Lakini siku za hivi karibuni amekua nahisia kali sana za kuhitaji akutane na huyo boyfriend wake kimwili. Je? Kuna madhara yanayoweza kutokea kwa mtoto kwa kufanya hilo tendo na kama yapo ni njia gani anaweza kufanya ili ku yaepuka pia hata kukabiliana na iyo hali.
N:B maziwa ya mama wa mtoto pia hayatoki.
Jumatatu Njema!
Copy:
MziziMkavu
gfsonwin
Last edited by a moderator: